Breaking News

Matukio katika picha Mkurugenzi wa EWURA akiwa mwongoza mjadala katika Kongamano la 11 la Mafuta na Gesi Afrika Mashariki 2025 (EAPCE’25).

 
Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Dkt.James Andilile,akiongoza Mada kuhusu Ushawishi wa Siasa za Kikanda kwenye Mahitaji na Bei ya Mafuta, leo 6/3/2025 kwenye Mkutano wa 11 wa Mafuta na Gesi Asilia Afrika Mashariki unaoendelea katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere.




No comments