Breaking News

NYOTA YAKO NDIO MAFANIKIO YAKO, IJUE KWA NJIA HII

Ukweli ni kwamba kila mfanyabiashara ambaye unaona amefanikiwa, ana siri kuhusu mafanikio, kuna jambo la muhimu nyuma ya pazia katika yale mafanikio yake, na sio wote wapo tayari kuzungumzia hilo.

Nimekuja kuamini hilo baada ya kukutana na Dr Bokko na kunieleza wafanyabiashara maarufu na wakubwa wengi wamepita kwao kutazamwa nyota zao kibiashara, na ndipo wakaenda kufanya kazi katika eneo la nyota zao na kufanikiwa.

Jina langu ni Moses kutokea Kagera, Tanzania, Mimi ni Mfanyabiashara ambaye najishughulisha na usafirishaji wa mizigo kutokea bandari ya Dar es Salaam. 

Nashukuru sana kazi hii ambayo nimeifanya kwa miaka zaidi ya mitano sasa, imekuwa yenye faida sana kwenye maisha yangu na jamii yangu kwa ujumla, kipato kizuri napata sio haba, maisha yanasonga.

Hata hivyo, kabla ya kazi hii niliangaika sana kwenye kazi nyingi na biashara mbalimbali bila mafanikio yoyote yale hadi kufikia hatua ya kukata tamaa na maisha naana nilikuwa naona kama ninapoteza tu muda wangu hapa duniani.

Katika pita pita zangu maeneo ya Mjini, ndipo nikakutana na tangazo la Dr Bokko, nilivutia sana na huduma yao ya kutazama nyota ya mtu kibiashara ipo wapi, wanaujua mtu akishatumbua nyota yake ni rahisi sana kufanikiwa kimaisha.

Niliwasiliana nao na kufikia uamuzi wa kusafiri hadi ofisini kwao, walinipokea vizuri sana, ndipo nikaketi nao chini na kuwaelewa kuwa nahitaji wanitazamie nyota yangu kibiashara ipo wapi maana nishafanya biashara nyingi bila mafanikio.

Basi walifanya kwa mujibu wa taratibu zao, baada ya muda walinieleza kuwa nyota yangu ya biashara ipo katika usafirishaji mizigo, bila kujaliwa mizigo kutokea wapi na kwenda wapi na ya aina gani.

Cha muhimu tu iwe ni biashara ya usafirishaji mizigo, ndipo nilianza kujipanga kwa ajili ya kazi hiyo ikiwa ni pamoja na kutafuta vibali vya mamlaka kufanya kazi hiyo.

Nashukuru sana tangu nianze kufanya kazi hiyo, nimepiga hatua kubwa sana kimaisha, kila mtu anashangaa imekuwaje nimeweza kufanikiwa kwa urahisi hivi, ila mimi najua siri ya mafanikio yangu ni Dr Bokko.

Ninatoa wito kwa wenye shida au magonjwa, kusumbuliwa na mapenzi, ndoa, biashara, kukosa ujauzito n.k, basi wasisite kuwatembelea Dr Bokko, sio lazima usafiri hadi ofisini kwao, unaweza kuongea nao kwa njia ya simu na utasaidiwa kwa haraka. Piga simu +255618536050.

Mwisho.




from MALUNDE 1 BLOG https://ift.tt/JsY3nzP

No comments