KATIBU MKUU WIZARA YA KATIBA NA SHERIA ELIAKIM MASWI AONGOZA WANANCHI KUTEMBELEA BANDA LA OFISI YA MAKAMU WA RAIS MAONESHO YA NANENANE
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Bw. Eliakim
Maswi akisaini Kitabu cha wageni wakati alipotembelea Banda la Ofisi ya Makamu
wa Rais (Muungano na Mazingira) katika Maonesho ya
Sikukuuu ya Wakulima Duniani (Nanenane) yanayoendelea katika Viwanja vya
Nanenane, Nzuguni Jijini Dodoma leo Jumanne Agosti 6, 2024.
No comments